Wednesday, August 22, 2007
NIMEREJEA
Nimerejea ukumbini. Kwa sasa natengeneza blogu vizuri kisha nitajieleza kwa nini nilipotea kipindi kirefu namna hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Bidii iliyopo hivi sasa katika utengenezaji filamu Tanzania, iende sambamba na mikakati ya soko ili kuinua hali za wasanii wote wanaohusika badala ya kuacha hali hii ya sasa ambapo Watengenezaji filamu na wasanii wao wanawaangukia wasambazaji, kinyume na kwingineko ambapo wasambazaji wanawaangukia watengeneza filamu na wasanii wao!