Hello world!
29 Comments - 16 Aug 2009
Welcome to Blogger. This is your first post. Edit or delete it, then start blogging!...

More Link
An image in a post
6 Comments - 16 Jul 2009
Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit. Quisque sed felis. Aliquam sit amet felis. Mauris semper, velit semper laoreet dictum, quam diam dictum urna, nec placerat elit nisl in quam. Etiam augue pede, molestie eget, rhoncus at, convallis ut, eros. Aliquam pharetra. Nulla in tellus eget odio sagittis blandit. Maecenas at nisl. Null...

More Link

Saturday, September 26, 2009

"SANDA NYEUSI" KATIKA MAFANIKIO

KAZI NZURI
Filamu ya Sanda Nyeusi iliyotokana na kitabu nilichoandika na kukichapisha Novemba mwaka jana, imefanikiwa kuingia mitaani na kupata mauzo mazuri. Watu wengi wamenipigia simu na kunipongeza kwa kazi ile, wakisema ni nzuri na inaeleweka. Kwa niaba ya wenzangu wote tulioshiriki kutengeneza filamu hiyo, nawashukuru wote kwa kutupa moyo.
Filamu hii tuliirekodi mjini Morogoro na niliihariri mimi mwenyewe ikiwa ni kazi yangu ya kwanza tangu nilipomaliza mafunzo ya Digital Media yaliyohusisha 3D Animation na Motion Graohics.
PICHANI: Tukio mojawapo la filamu hiyo

1 comment:

John Mwaipopo said...

HONGERA BABA ENDELEA KUKUA KATIKA FANI

Text Widget

Mahali pangu

Text Widget