Saturday, September 26, 2009

MIMI NA DIGITAL MEDIA

Mbali na kuwa ni mwandishi, mtengeneza filamu, pia sasa mimi ni Animator. Nimesoma mambo ya Digital Media ambayo yananiwezesha kutengeneza filamu za katuni na hata filamu za uhalisia, mfano ni baadhi ya matukio yaliyomo kwenye filamu ya Sanda Nyeusi ni mafanikio yaliyotokana na mafunzo hayo. Kazi hii ilifanywa na Chuo ninachosoma cha Media One Productions na mimi nikiwa miongoni mwa watendaji.
Kijumba unachokiona na mazingira yote nilikitengeneza kwa 3D, sio kijumba halisi.


No comments:

Text Widget

Mahali pangu

Text Widget