Saturday, September 26, 2009

"SANDA NYEUSI" KATIKA MAFANIKIO

KAZI NZURI
Filamu ya Sanda Nyeusi iliyotokana na kitabu nilichoandika na kukichapisha Novemba mwaka jana, imefanikiwa kuingia mitaani na kupata mauzo mazuri. Watu wengi wamenipigia simu na kunipongeza kwa kazi ile, wakisema ni nzuri na inaeleweka. Kwa niaba ya wenzangu wote tulioshiriki kutengeneza filamu hiyo, nawashukuru wote kwa kutupa moyo.
Filamu hii tuliirekodi mjini Morogoro na niliihariri mimi mwenyewe ikiwa ni kazi yangu ya kwanza tangu nilipomaliza mafunzo ya Digital Media yaliyohusisha 3D Animation na Motion Graohics.
PICHANI: Tukio mojawapo la filamu hiyo

1 comment:

John Mwaipopo said...

HONGERA BABA ENDELEA KUKUA KATIKA FANI

Text Widget

Mahali pangu

Text Widget