
Saturday, September 26, 2009
NAFICHUA SIRI SASA....

MIMI NA DIGITAL MEDIA

Kijumba unachokiona na mazingira yote nilikitengeneza kwa 3D, sio kijumba halisi.
"SANDA NYEUSI" KATIKA MAFANIKIO

Filamu ya Sanda Nyeusi iliyotokana na kitabu nilichoandika na kukichapisha Novemba mwaka jana, imefanikiwa kuingia mitaani na kupata mauzo mazuri. Watu wengi wamenipigia simu na kunipongeza kwa kazi ile, wakisema ni nzuri na inaeleweka. Kwa niaba ya wenzangu wote tulioshiriki kutengeneza filamu hiyo, nawashukuru wote kwa kutupa moyo.
Filamu hii tuliirekodi mjini Morogoro na niliihariri mimi mwenyewe ikiwa ni kazi yangu ya kwanza tangu nilipomaliza mafunzo ya Digital Media yaliyohusisha 3D Animation na Motion Graohics.
PICHANI: Tukio mojawapo la filamu hiyo
Subscribe to:
Posts (Atom)
Text Widget
Mahali pangu